SW/Prabhupada 0031 - Live by my Words, by my Training: Difference between revisions
Visnu Murti (talk | contribs) (Created page with "<!-- BEGIN CATEGORY LIST --> Category:1080 Swahili Pages with Videos Category:Prabhupada 0031 - in all Languages Category:SW-Quotes - 1977 Category:SW-Quotes - C...") |
(No difference)
|
Revision as of 06:35, 4 April 2015
Invalid source, must be from amazon or causelessmery.com
Room Conversation 1 -- November 10, 1977, Vrndavana
Prabhupāda: Kuna vitu viwili: kuishi na kufa. Kwa hivyo nikifa shida iko wapi? Na kama kuna kifo, hiyo ni kawaida.
Jayapatāka: Kwako wewe, Śrīla Prabhupāda, kuwa hai au kufa hakuna tofauti kwa sababu uko kwenye kiwango cha kiroho, lakini kwetu sisi, ukiacha mwili wako tutawachwa bila ushirikiano wako. Kwa hivyo kwetu sisi ni bahati mbaya sana.
Prabhupāda: Ishi kwa maneno yangu, kwa mafunzo yangu. Mm.